'Legend' wa Simba alia na viongozi wapya

Wachezaji wa zamani wa Simba, kutoka kulia ni Abdulrahman Muchacho, Abbas Dilunga, Omar Gumbo, Adam Sabu (marehemu), Abdallah Kibadeni na Shaaban Baraza.

Baada ya Simba kubadili mfumo pamoja na kupata viongozi wake wapya, mchezaji wa zamani wa klabu hiyo Abdallah Kibadeni amewataka viongozi kutowasahau wachezaji na viongozi wa zamani walioitumikia Simba kwa mafanikio akiwemo yeye.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS