'Legend' wa Simba alia na viongozi wapya
Baada ya Simba kubadili mfumo pamoja na kupata viongozi wake wapya, mchezaji wa zamani wa klabu hiyo Abdallah Kibadeni amewataka viongozi kutowasahau wachezaji na viongozi wa zamani walioitumikia Simba kwa mafanikio akiwemo yeye.