Kauli ya Mwijage Bungeni baada ya kutumbuliwa

Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage.

Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles Mwijage ameibuka na kuzungumza bungeni, kwa mara ya kwanza tangu atenguliwe nafasi yake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli wiki iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS