Polisi Mwanza waua 8 kwa siku mbili Kamanda wa Polisi Mkoa Mwanza, Jonathan Shana. Kamanda wa Polisi Mkoa Mwanza, Jonathan Shana amethibitisha kuawa kwa watu 7 wanaosadikika kuwa ni majambazi, katika eneo la kishiri kwenye majibizano ya risasi na jeshi la polisi. Read more about Polisi Mwanza waua 8 kwa siku mbili