Mbunge agoma kujiuzulu Jengo la Bunge. Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, mkoani Mtwara kupitia Chama cha Wananchi CUF, Katani Ahmadi Katani, amekanusha tuhuma zinazogaa mtandaoni kuwa amejiuzulu na kujivua uanachama wa chama chake. Read more about Mbunge agoma kujiuzulu