Mbunge agoma kujiuzulu

Jengo la Bunge.

Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, mkoani Mtwara kupitia Chama cha Wananchi CUF, Katani Ahmadi Katani, amekanusha tuhuma zinazogaa mtandaoni kuwa amejiuzulu na kujivua uanachama wa chama chake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS