ACT, Msekwa wafunguka siku ya mwisho kuhamia CCM
Spika Mstaafu Pius Msekwa amefunguka juu ya maamuzi ya chama chake kufunga zoezi la kupokea wabunge, madiwani, kuhamia chama hicho na kupewa nafasi ya kugombea tena nafasi zao na kusema yeye anaheshimu maamuzi halali yaliyofanywa na chama chake.