Mtolea ajiuzulu Ubunge
Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abdallah Mtolea ametangaza kujivua nafasi yake ya ubunge kupitia Chama Cha Wananchi CUF kwa kile alichokieleza juu ya uwepo kwa mgogoro wa kiuongozi baina ya pande mbili za viongozi wa Chama hicho ikiwemo upande wa Lipumba na Maalim Seif.