Wabunge wanne CHADEMA waibuka CCM
Wabunge wanne waliokuwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na baadaye kuhamia CCM na kushinda nafasi zao ubunge wameapishwa leo bungeni na Spika wa Bunge Job Ndugai na kuanza kuzitumikia nafasi hizo tena kupitia chama kingine.