Matumizi ya 'Antibiotics' yanavyoweza kuacha sumu

Antibiotics

Watu wametakiwa kuwa makini na matumizi ya dawa hususani 'Antibiotics' bila kufuata ushauri wa daktari, jambo ambalo ni hatari kwani hutengeneza sumu mwilini kutokana na dawa hizo kuwa na kemikali sumu ambazo hupambana na bakteria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS