Ethiopia wanasherehekea Krismasi leo Januari 7 Wakristo wa Kanisa la Orthodox la Ethiopia hufuata kalenda ya Juliani (Julian Calendar), ambayo iko nyuma kwa siku 13 ikilinganishwa na kalenda ya Gregori inayotumiwa na Wakatoliki na Waprotestanti. Read more about Ethiopia wanasherehekea Krismasi leo Januari 7