Kesi ya Lissu kuendelea kuunguruma leo Mahakamani

Hii inafuatia uamuzi wa timu ya Majaji watatu wanaosikiliza kesi hii wakiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru kutoa wito kwa magereza kumfikisha Lissu mahakamani leo pamoja na  mashahidi wengine  ili kesi iweze kuendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS