Waliofariki kwa mafuriko Marekani waongezeka Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea katikati mwa jimbo la Texas, Marekani siku ya Ijumaa sasa imepanda zaidi 100 na idadi isiyojulikana ya watu hawajulikani walipo Read more about Waliofariki kwa mafuriko Marekani waongezeka