Ayra Starr ajiunga na Roc Nation Ya Jay Z

Msanii wa muziki wa Afrobeats, Ayra Starr, amejiunga rasmi na kampuni ya kimataifa ya burudani Roc Nation, inayomilikiwa na rapa Jay-Z.Taarifa hii imethibitishwa baada ya jina la Ayra kuwekwa kwenye tovuti rasmi ya Roc Nation.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS