Vita ya Azam na Yanga, yamgusa mwamuzi Kuelekea mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara raundi ya 15 kati ya Azam FC dhidi ya Yanga, klabu ya Azam imeomba kubadilishwa kwa mwamuzi wa kati aliyepangwa na bodi ya ligi kuchezesha pambano hilo. Read more about Vita ya Azam na Yanga, yamgusa mwamuzi