Mwanafunzi abakwa na kuuawa kikatili

Mwanafunzi wa kike wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 14 mkoani Katavi, ameuawa kikatili baada ya kubakwa na kuchomwa kisu, na kisha mwili wake kutelekezwa porini na mtu ambaye alimpa lifti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS