Mwanafunzi abakwa na kuuawa kikatili Mwanafunzi wa kike wa darasa la sita mwenye umri wa miaka 14 mkoani Katavi, ameuawa kikatili baada ya kubakwa na kuchomwa kisu, na kisha mwili wake kutelekezwa porini na mtu ambaye alimpa lifti. Read more about Mwanafunzi abakwa na kuuawa kikatili