"Nimejitoa muhanga"- Vanessa Mdee

Malkia wa Bongo Fleva anayefanya vizuri ndani na nje ya nchi, Vanessa Mdee amesema amejisikia faraja kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki albamu japokuwa anahisi amejitoa muhanga kwa maana hafahamu kama itakuja kumlipa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS