Man Fongo 'ashambuliwa'

Man Fongo

Msanii na mtayarishaji muziki kutoka studio ya Defatality Mensen Selekta pamoja na DJ Tito wamemshambulia kwa maneno muimbaji wa singeli Man Fongo kutokana na tabia yake ya kutafuta kiki kwa kutumia majina yao kila anapotaka kutoa kazi zake mpya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS