Kilichoamuliwa kesi ya Sugu leo

Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga imeharishwa hadi kesho ambapo upande wa walalamikiwa wataanza kutoa utetezi wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS