Kilichoamuliwa kesi ya Sugu leo Kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga imeharishwa hadi kesho ambapo upande wa walalamikiwa wataanza kutoa utetezi wao. Read more about Kilichoamuliwa kesi ya Sugu leo