Mpambane kwa ajili ya Tanzania- Dkt. Mwakyembe

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka vijana wa timu ya Serengeti Boys wenye umri wa miaka 16, kupambana kwa hali na mali ili waweze kupeperusha vyema bendera ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS