Serikali yaisisitiza klabu ya Simba Serikali imeiagiza Klabu ya Simba kuzingatia sheria na kanuni zinazosimamia suala la uwekezaji kwa Klabu zilizoanzishwa na wanachama ambapo inawataka kuchukua 51% na mwekezaji 49%. Read more about Serikali yaisisitiza klabu ya Simba