Serikali yaisisitiza klabu ya Simba

Serikali imeiagiza Klabu ya Simba kuzingatia sheria na kanuni zinazosimamia suala la uwekezaji kwa Klabu zilizoanzishwa na wanachama ambapo inawataka kuchukua 51% na mwekezaji  49%.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS