Dunda afunguka ya kwake

Mlinda mlango wa klabu ya Simba Said Mohamed Nduda

Mlinda mlango wa kimataifa wa klabu ya Simba Said Mohamed Nduda amewataka mashabiki na wapenzi wa wekundu wa msimbazi kuwa na subira katika kipindi hiki kwa madai ana matumaini timu yake watachukua ubingwa safari hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS