Azika watoto hai kisa mahindi

Mtu mmoja nchini Burundi aliyefahamika kwa jina la Nyandwi Elias wa eneo la Bubanza, anatafutwa na Polisi kwa kosa la kuwapiga na kuwafukia ardhini watoto wawili, akiwatuhumu kuiba mahindi shambani kwake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS