Ajali yaua 11 Kagera Watu 11 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari aina ya hiece kugongana na malori matatu katika kijiji cha Mubigera wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera asubuhi ya leo. Read more about Ajali yaua 11 Kagera