Ajali yaua 11 Kagera

Watu 11 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari aina ya hiece kugongana na malori matatu katika kijiji cha Mubigera wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera asubuhi ya leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS