"Mkiweka sheria wasanii wataiba" – Papaa Misifa

Meneja wa wasanii ambaye ametoa wasanii wengi bongo, Papa Misifa, ameitaka serikali kutoweka sheria kali kwa wasanii na mameneja wao, kwani itawagharaimu vijana hao ambao kwa namna moja au nyingine wanajaribu kujikwamua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS