Nyota wa ASFC wafungiwa kucheza
Wachezaji wawili wa michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam 'ASFC' kutoka timu ya Singida United pamoja na Green Warriors wamefungiwa na kucheza mechi tatu na kutozwa faini ya laki tano kwa kila mmoja baada ya kubainika kutoingia uwanjani na timu zao

