Maandamano ya upinzani ya kwama

Maandamano yaliyoitishwa leo na viongozi wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, (DRC), yameshindwa kupata mwitikio mkubwa kama ilivyotarajiwa baada ya Serikali kuyapiga marufuku na kusambaza maelfu ya polisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS