Inspector Haroun afunguka bifu yake na Nature

Mkali wa 'hit' za zamani kama asali wa moyo Inspector Haroun maarufu ‘Babu'  amesema hakuwa na bifu na mkali mwenzake kutoka Temeke Juma Nature bali bifu hiyo ilikuwa inatengenezwa na mashabiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS