Uingereza kulitambua taifa la Palestina

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer ametangaza  kwamba Uingereza italitambua taifa huru la Palestina mwezi Septemba, isipokuwa kama Israeli itatoa ahadi kadhaa, ikiwa ni pamoja na kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS