Velverde na Tchouaméni wapigwa faini nzito Madrid
Uongozi wa Klabu ya Real Madrid imetangaza kuwaadhibu wachezaji wao Federico Valverde na Aurélien Tchouaméni baada ya ugomvi kati yao uliopelekea Valverde kupelekwa hospitali. Taarifa ya Klabu inaesema;

