Ufanunuzi kauli ya Bandari ya DSM kuuzwa Dubai

Bandari ya Dar es Salaam

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), imewataka Watanzania kupuuza taarifa za upotoshaji zinazofanywa kwa makusudi na watu wenye nia ovu zinazodai serikali imepanga kuipa kampuni ya DP World ya Dubai kandarasi ya uendeshaji wa shughuli za Bandari ya Dar es Salaam kwa muda wa miaka 100.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS