Yanga wapewa ofa nyingine, mashabiki wasikilizie Waziri wa Maliasili na Utalii Mohamed Mchengerwa Wizara ya Maliasili na Utalii imetoa ofa kwa timu ya Yanga, wachezaji pamoja na viongozi wa klabu hiyo kutembelea Hifadhi ya Taifa Serengeti na Hifadhi ya Ngorongoro wakati wa mapumziko yao. Read more about Yanga wapewa ofa nyingine, mashabiki wasikilizie