CCM kusimamia mchakato wa Katiba Mpya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, amesema kuwa shughuli ya usimamizi na uratibu wa upatikanaji wa Katiba Mpya ya kisasa utasimamiwa na chama hicho na si vinginevyo. Read more about CCM kusimamia mchakato wa Katiba Mpya