CCM kusimamia mchakato wa Katiba Mpya

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo, amesema kuwa shughuli ya usimamizi na uratibu wa upatikanaji wa Katiba Mpya ya kisasa utasimamiwa na chama hicho na si vinginevyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS