Waziri Jafo asafisha mitaro jijini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo, akifanya usafi

Tanzania ni moja ya nchi inayokabiliana na mabadiliko ya tabianchi yatokanayo na uharibifu wa mazingira kutokana na shughuli za kibinadamu ,hali iliyomsukuma Rais Samia Suluhu Hassan kujipambanua kitaifa na kimatafa kubuni na kutengeneza miradi inayotunza mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS