Afisa Manunuzi awekwa ndani Manyoni

Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba amemsweka ndani afisa manunuzi wa halmashauri ya Manyoni Joseph Swila  kwa kukiuka maagizo aliyoyatoa jana wakati alipofika kukagua ujenzi wa wodi ya wanawake, wanaume na chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya wilaya Manyoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS