Chongolo ang'aka madada wa kazi kutoka Iringa

Katibu Mkuu wa CCM daniel Chongolo

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo amepiga marufuku mkoa wa Iringa kuwa sehemu ya kupata mabinti wa kazi na badala yake mkoa huo upate sifa kwa kutoa mabinti wenye taaluma mbalimbali nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS