Chongolo ang'aka madada wa kazi kutoka Iringa Katibu Mkuu wa CCM daniel Chongolo Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo amepiga marufuku mkoa wa Iringa kuwa sehemu ya kupata mabinti wa kazi na badala yake mkoa huo upate sifa kwa kutoa mabinti wenye taaluma mbalimbali nchini. Read more about Chongolo ang'aka madada wa kazi kutoka Iringa