Chongolo aonya wananchi wanaouza ardhi hovyo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amewaonya wananchi wa jimbo la Isimani mkoa wa Iringa kuacha kuuza ardhi hovyo badala yake waitumie kuleta tija na kukuza uchumi wao. Read more about Chongolo aonya wananchi wanaouza ardhi hovyo