Chongolo aonya wananchi wanaouza ardhi hovyo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amewaonya wananchi wa jimbo la Isimani mkoa wa Iringa kuacha kuuza ardhi hovyo badala yake waitumie kuleta tija na kukuza uchumi wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS