Diaspora kupewa hadhi maalum

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax amesema Wizara ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya kuwapatia Hadhi Maalum Diaspora wenye asili ya Tanzania na Uraia wa nchi nyingine (Tanzania Non-Citizen Diaspora)

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS