Fisi ajeruhi mtoto akienda mtoni

Mtoto aliyejeruhiwa

Joyce Sengerema mwenye umri wa miaka 10 mkazi wa Kijiji cha Kiloleli wilayani Kishapu mkoani Shinyanga amejeruhiwa na Fisi wakati akienda kuchota maji mto Manonga majira ya saa 12:00 asubuhi na kisha kumburuza hadi vichakani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS