Saida Karoli ajiweka kwa G Nako na Belle 9. Saida Karoli Msanii wa muziki Tanzania mwanamama ambaye ana sauti yenye mvuto wa kipekee Saida Karoli, amewavuta wasanii wawili wa bongo fleva, G Nako na Belle 9, kwenye kazi yake mpya ya 'Kichaka'. Read more about Saida Karoli ajiweka kwa G Nako na Belle 9.