Wajasiriamali zaidi ya 400 wawezeshwa kibiashara

Zaidi ya mama lishe, vijana na baba lishe 450 wamepatiwa vifaa vya kufanyia kazi zao ikiwemo mitungi ya gesi,kabati maalum ya kuhifadhia chakula,pamoja na sare za kufanyia kazi ikiwa ni uwezeshwaji awamu ya tatu kupitia kapeni ya chipsika kiajira na coke

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS