JWTZ lawarudia wananchi
Jeshi la Wananchi wa Tanzania, JWTZ, limewaomba Watanzania wote waliunge mkono Jeshi hilo na kwamba, liko imara na tayari kuilinda Nchi, kuilinda na na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa uaminifu Serikali .