Niyonzima afunguka penz* la Kabula

Mchezaji wa klabu ya Simba Haruna Niyonzima amefunguka na kusema kwamba muigizaji Miriam Jolwa, Kabula  aliyewahi kutangaza ana mahusiano naye na kwamba hafahamu kwa nini mwanamke huyo aliamua kumchafua  huku akidai siyo 'type' yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS