Ushirikina hauna dili- Dkt. Mwakyembe

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe .

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amewaasa na kuwataka vijana kutumia nguvu zao katika michezo na kufanya mazoezi ila wasije kufikilia kama kuna njia za mkato wala uchawi bali mazoezi ndiyo kila kitu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS