Tunaipeleka serikali mahakamani - Zitto Kabwe

Mbunge Zitto Kabwe

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe ameweka wazi kuwa vyama vya upinzani vinakusudia kwenda Mahakamani kufungua kesi dhidi ya serikali kwa kuwazuia kufanya mikutano ya hadhara ya kisiasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS