TMT yasimamisha ubingwa
Timu ya TMT imefanikiwa kurejesha furaha kwa mashabiki zake kwa kuwapashika Mchenga BBall Stars kwa pointi 80-79 mchezo wa nne kati ya mitano katika fainali ya Sprite BBall Kings uliyopigwa kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.