Jaji Chande: Walilipwa kufanya vurugu Oktoba 29
Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uchaguzi Mkuu wa 2025, Jaji Mstaafu Mohamed Chande Othman, ameanika mbinu zilizotumiwa na waratibu wa ghasia kuwaribuni vijana na makundi yenye kipato duni ili kuchochea vurugu nchini.

