Hamad Rashid awataka wanasiasa kusema kweli
Chama cha Alliance for Democratic Change ADC kimeadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwake huku kikiwataka wanasiasa nchini kuwa wakweli na kuendelea kudumisha amani badala ya kutoa kauli na ahadi ambazo zina mwonekano wa kutaka kuleta mpasuko.