Waziri atoa agizo kwa wananchi

Waziri Ummy akiwa na mgonjwa katika kituo cha Afya cha ya Mazwi kilichopo Manispaa ya Sumbawanga

Wananchi wameagizwa kufuata utaratibu wa sera unaotaka wananchi kupata matibabu katika hospitali za Rufaa ni lazima awe ameandikiwa rufaa na siyo kila mtu aende moja kwa moja kwenye hospitali hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS