Waziri Ummy akiwa na mgonjwa katika kituo cha Afya cha ya Mazwi kilichopo Manispaa ya Sumbawanga
Wananchi wameagizwa kufuata utaratibu wa sera unaotaka wananchi kupata matibabu katika hospitali za Rufaa ni lazima awe ameandikiwa rufaa na siyo kila mtu aende moja kwa moja kwenye hospitali hizo.