Serikali kuwashughulikia wanaoficha watoto

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia.

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekemea wazazi na walezi wanaowaficha watoto wenye ulemavu kwa kisingizio cha kuwaletea mikosi kwenye familia na kusema serikali haitawafumbia macho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS