Naomi atupwa jela miezi minne kisa gongo
Naomi Jeremiah (25), mkazi wa Kata ya Mabatini wilayani Nyamagana jijini Mwanza, amehukumiwa kifungo cha miezi minne gerezani au kulipa faini ya shilingi laki nne kwa kosa la kukutwa na lita 125 za pombe ya moshi maarufu kama gongo.