Mchenga BBall Stars yawakalisha TMT

Nahodha wa Mchenga BBall Stars Mohamed Yusuph akimuwekea kizingiti mchezaji kutoka TMT, Erick Lugora.

Mchenga BBall Stars wamefanikiwa kuwachapa wapinzani wao TMT kwa pointi 87-82 mchezo wa tatu kati ya mitano katika fainali ya Sprite BBall Kings uliyopigwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay Jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS