Kilio chetu kimesikika- JB

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen 'JB.

Muigizaji mkongwe nchini Jacob Stephen 'JB amefunguka na kudai wamepata mkombozi katika usambazaji wa kazi zao za filamu huku akiwataka mashabiki zake kukaa mkao wa kula wa kupokea kazi mpya kutoka kwake baada ya kukaa kimya kipindi kirefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS